Indoraptor
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 249
- 506
Habari wakuu
Nina mpenzi wangu ambaye amejifungua miezi mitatu iliyopita lakini tangu ajifungue kumekuwa na tatizo la mtoto kulia kila saa bila sababu.
Nilimshauri aende hospital lakini hospital wamesema haumwi chochote, kama ni kunyonya ananyonya vizuri tu lakini tatizo hili limekuwa sugu sasa, yaani sio usiku sio mchana ni kulia tu kila mara.
Naomba msaada wa tatizo hili kwa wajuzi
Nina mpenzi wangu ambaye amejifungua miezi mitatu iliyopita lakini tangu ajifungue kumekuwa na tatizo la mtoto kulia kila saa bila sababu.
Nilimshauri aende hospital lakini hospital wamesema haumwi chochote, kama ni kunyonya ananyonya vizuri tu lakini tatizo hili limekuwa sugu sasa, yaani sio usiku sio mchana ni kulia tu kila mara.
Naomba msaada wa tatizo hili kwa wajuzi