Mtoto kunyonya kidole gumba

Jerrymsigwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
14,084
Reaction score
8,384
Binti angu ana miaka 3.2 tatizo ni kunyonya kidole mpk kinaweka kidonda. Je ni tatizo la setting ya ubongo (aliwekewa kidole mdomoni na nurse just after birth). Hata umkataze vip kuna time ataweka tu imekua kama conditioned reflex action. Huu unyonyaji waweza sababisha hata dentition disformation

Nimejaribu kutumia thumb guard lakini naona its too artificial na haimpi freedom kucheza. What is the best approach towards similar case?
 
watakuja wakujibu,hata mimi nilikua na mdogo wangu alikua hivyo wa kike,ataacha lakini akikua
 
watakuja wakujibu,hata mimi nilikua na mdogo wangu alikua hivyo wa kike,ataacha lakini akikua

Mkuu asante ila anaweza kukua afu akawa na teeth disposition si hatari hiyo
 
Muweke pilipili kwa kidole gumba,jeur yake itaisha.
 
Had the same issue nilivyokua mdogo na kweli meno yangu yalisogea mbele had to wear braces. Ila usijali atakuja kuucha tu
 
huwa ni dalili ya njaa uchangani. Lakini kuna mahali nilisikia kuna baadhi ya watoto hunyonya kidole hata wakiwa tumboni.

Akinyonya sana ataharibu meno nakuathiri uongeaji wake, msaidie kuacha mapema
 
Nami nina tatizo hilo kwa binti yangu, ana miaka mitatu lakini hataki kuacha, nshatumia njia nyingi mpaka nimeamua kua mpole tu. Pilipili nshamuwekea, nkamfunga plasta na mengine mengi nilokua nikiambiwa lakini mpaka sasa tatizo ni hilo hilo
 
huwa ni dalili ya njaa uchangani. Lakini kuna mahali nilisikia kuna baadhi ya watoto hunyonya kidole hata wakiwa tumboni.

Akinyonya sana ataharibu meno nakuathiri uongeaji wake, msaidie kuacha mapema

Mkuu nilimchapa akaacha kwa mda. Kutokana na shida za maisha nikampeleka child care ameiga huko ndio ananyonya ni balaa
 
Inaweza ikasaidia si vibaya kujaribu, ila huko uliko (kama mtoto anaenda day care na kuwaambia waangalizi wake kwamba kidole akitia mdomoni kinamuwasha) ikibainika kwamba umefanya hivyo kasheshe lake utatamani ardhi ipasuke.

Hua ni dawa hiyo?
 
Inaweza ikasaidia si vibaya kujaribu, ila huko uliko (kama mtoto anaenda day care na kuwaambia waangalizi wake kwamba kidole akitia mdomoni kinamuwasha) ikibainika kwamba umefanya hivyo kasheshe lake utatamani ardhi ipasuke.


Bado nawaza hiyo pilipili akigusa jichoni sijui itakuaje
 
Reactions: BAK
Kuandaa na kulishwa ni vitu viwili tofauti, hujawahi ona hg ananenepa na mtoto anatibiwa marasmus au kwashakoo?

Mmh hpn mkuu chakula bfst, luch & tea vyote naandaa home! Yani ananiudhi sana si kidogo
 
Hili tatizo hata wangu wa miaka 4 analo yani tabu sana tena yeye ananyonya cha mkono wa kulia halafu mkono wa kulia anashika titi lake na kulisuguasugua.yani balaa!!
 
Hili tatizo hata wangu wa miaka 4 analo yani tabu sana tena yeye ananyonya cha mkono wa kulia halafu mkono wa kulia anashika titi lake na kulisuguasugua.yani balaa!!

Unamfanyeje sasa ili aache?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…