pole sana,
hizo dalili kwa kawaida huwapata watoto wadogo, na kitabibu tunaambiwa mtoto anaanza kunyonya kidole tangu akiwa na miezi 7 akiwa tumboni, hivyo usiogope ni hali ya kawaida kwa mtoto pia kama hupendi anyonye vidole unaweza pia ukamnunulia baby sweeter ili asiwe ananyonya vidole,
kuhusu kuwasha kwa fizi pia inawezekana ingawa inaweze isiwe zinawasha ila ni hali yakawaida ya mtoto kunyonya vidole vyake, na wala haina uhusiano wa kuharibu kuota kwa meno ya mtoto, ni maneno tu ya mitaani kwa wakina mama...