Mtoto kunyonya vidole vyake

kama ukipaka pilipili kwenye kidole inakuaje?

Kama mtoto bado ni mdogo sana hili la kupaka pilipili silishauri hata kidogo na pia mtoto kama ana akili zake anaweza kukiosha (kwa siri) na kuendelea na burudani yake.
 

Bliss mpendwa, hapo kwenye red unamaanisha dummies?au ni kitu kingine hiki?kama ni hizo, basi
kwa ufahamu wangu na maelezo niliyopewa na midwives pale nilipojifungua
ni afadhali mtoto anyonye vidole (ingawaje pia si vizuri) kuliko kumpa anyonye hizo dummies, hizo zinaharibu meno more than atakavyonyonya vidole.so ningependa kukushauri mtoa mada fanya juu chini mtoto aache kunyonya kidole ILA usimpe dummies kunyonya kama alternative.

nawasilisha
 
Wangu pia anatatizo hilo lakini nilitaka kujua tatizo hilo linasababishwa na nini hasa?
 
kama kweli mdogo wako ni mrembo mwambia anitafute.!
 
hata mimi babu ananyonyaga vidole tumekaa kikao cha ukoo tumekubaliana akilaa tu tumpake pilipili kichaa kwenye vidole hadi vya miguuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…