Mbeky
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 672
- 518
Wadau nimekua nikisikia kwamba eti mtoto akianza kuota meno huwa anaharisha.
Mwanangu mi alipoota vijino vinne vya mbele sikuona hiyo hali ila sasa ameanza kuongeze mengine naona choo chake kimeongezeka kuwa laini na sometimes ni kuharisha kabisa kila akijisaidia...tumempekela hospital wamempima choo hakina shida..malaria hana ila daktari akasema inaweza kuwa meno kuota...kwa kuwa alienda mama ake aliponipa suggestions hizo za daktari mi sijamuelewa kabisa.
Sa wadau kwa wenye ufahamu au experience na hali hii naombeni msaada wa mawazo.
Ni kweli kuota meno kunaweza changia mtoto kuwa na choo chepesi /kuharisha
Is it scientifically applicable au ni imani za mtaani tu
Mwanangu mi alipoota vijino vinne vya mbele sikuona hiyo hali ila sasa ameanza kuongeze mengine naona choo chake kimeongezeka kuwa laini na sometimes ni kuharisha kabisa kila akijisaidia...tumempekela hospital wamempima choo hakina shida..malaria hana ila daktari akasema inaweza kuwa meno kuota...kwa kuwa alienda mama ake aliponipa suggestions hizo za daktari mi sijamuelewa kabisa.
Sa wadau kwa wenye ufahamu au experience na hali hii naombeni msaada wa mawazo.
Ni kweli kuota meno kunaweza changia mtoto kuwa na choo chepesi /kuharisha
Is it scientifically applicable au ni imani za mtaani tu