Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Anakula vipande vya mawe au anachotaka ni ule mchanga tu unaopuputika kwenye hivyo vipande vya mawe? Je, anakula na mchanga?
Wadau poleni na mashughuliko!kuna kitu kinanisumbua kichwa naombeni msaada wenu!hivi ni tatizo gani kwa mtu kupenda kula vijipande vya mawe?kuna mtoto wa ndugu yangu anasumbuliwa na hilo tatizo!huwa anachukua vipande vidogo vidogo ya mawe anavitia mdomoni anakaa navyo hata usiku akilala anapendelea kumumunya kama pipi!ni tatizo gani hilo?na dawa yake ni nini?
Nawasilisha wakuu