Viongozi salaam!
Kama heading ilivyo. Naomba kujua sababu za mtoto kutokugeuka akiwa tumboni kwa mama wakati wa ujauzito. Inasemekana mtoto hugeuka kuanzia miezi sita ya ujauzito. Tatizo la mtoto kutokugeuka tumboni hupelekea mtoto kushindwa kutoka kwa njia ya kawaida wakati wa kujifungua na kupelekea mama kupasuliwa (operation)
Pia naomba kujua ikiwa kuna uwezekano wa kumfanya mtoto kugeuka? Kama ndio huduma hiyo hutolewa Hospitali gani au Hapa nchini
Natanguliza shukrani
Sent using
Jamii Forums mobile app