Mtoto kutokulia

BAKOI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2016
Posts
1,211
Reaction score
2,329
Habari zenu wakuu

Kwa heshima yenu mtoto anapozaliwa asipolia ni nini madhara yake , na pia ni hatua gani za kuchukua kuweza kumsaidia
 
Huwezi kumtoa wew mpaka daktari mpeleke hospital watakusaidia kunavifaa special
 
mtoto anatakiwa alie immediately anapozaliwa, la sivyo akili yake itakuwa very slow kwenye kila kitu.
Amekaa masaa mangapi kabla ya kulia
 
Habari zenu wakuu

Kwa heshima yenu mtoto anapozaliwa asipolia ni nini madhara yake , na pia ni hatua gani za kuchukua kuweza kumsaidia
Mfinye nyayoooo mpakaa alieee
 
Kila siku mnaambiwa mpeleke mama mjamzito akajifungulie hospitali hamsikii, ona sasa huyo mtoto atakuwa mzigo kwako wewe, familia yako, na taifa kwa ujumla
 
Kila siku mnaambiwa mpeleke mama mjamzito akajifungulie hospitali hamsikii, ona sasa huyo mtoto atakuwa mzigo kwako wewe, familia yako, na taifa kwa ujumla
Alijifungulia hospital mkuu
 
Hospital huwa wanashughulikia hiyo issue hapohapo
Nimeshapambana hospital mkuu imeshimdikana ndo mana nikaja hapa ili Kama kuna njia zingine za kienyeji nisaidiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…