Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,785
Habari wadau. Kwa muda mrefu tangu nikiwa mdogo hadi sasa nimekuwa nikisikia hili suala lakini sifahamu hasasa sababu zake. Naomba kujua sababu za mtoto kuzuiwa asitoke nje ya nyumba hadi siku arobaini zipite. je ni sababu za kitaalam/afya, mila au dini? je kuna athari ama tatizo lolote akitoka kabla ya siku hizo?