mtoto kuzariwa na meno humanisha nini?

sw33tboy

Member
Joined
May 24, 2011
Posts
42
Reaction score
4
wakuu nataka msaada mwenzenu nimeachwa mdomo wazi baada ya kumuona mke wa jilani yangu kajifungua mtoto akiwa na meno mawili mdomoni. hii hutokana na nini na inaweza kuwa na athari gani msaada plz
 
duh hii kali,subiri wataalam waje......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…