Habari wanajamvini natumai wote wazima, mtoto wangu wa miezi 5 anakaa siku 3 ndio anajisaidia aja kubwa naombeni msaada hii imeanza baada ya mie kuanza kazi sababu namkamulia maziwa yangu yakiisha kabla sijarudi nyumbani wanampa maziwa ya Kopo lactogen sasa sijui chanzo ni hicho msaada please.