Sangoma
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 344
- 165
Habari za majuku nimebahatika kupata mtoto wa kiume ck ya 21-11-2015 leo anatimiza wiki ya 3 tokea azaliwe amekuwa akipatwa na tatizo la mafuta kumkataa mara ya kwanza alikuwa anatumia dinamarious coconuts oil yakamkataa ikabidi aanze na samona na yenyewe yamegoma nimempiga kasuku yamegoma msaada ni mafuta yapi yatasaidia kuweka ngozi ya huyu mtoto sawa





