Inawatokea sana watoto hali hii, na itadumu muda tuu, utakuta atamaliza hadi mwaka tena anasumbua kinyama kula...Sidhani kama ni matokeo ya ugonjwa fulani, ila naamini ni katika steji za kukua.
Lakini nijuavyo huko mbele atakuja piga sembe huyo hadi akutie hasara!...sijui huwa wanalipiza..!