Heshima kwenu wakuu tafadhali naomba kujuzwa.
Nina mtoto mwenye umri wa mwaka 1 na nusu nisiku ya pili leo akianza kukojoa analia na anakojoa kidogo kidogo sijajua tatizo ni nini hasa.
Afya yake ninzuri anacheza vizuri tu nawenzake ila akitaka kukojoa anakujambio huku akilia na mkojo unamtoka polepole na hauishi haraka kwKuwa unamtoka kidogo kidogo.
Naomba ushauri.
Nina mtoto mwenye umri wa mwaka 1 na nusu nisiku ya pili leo akianza kukojoa analia na anakojoa kidogo kidogo sijajua tatizo ni nini hasa.
Afya yake ninzuri anacheza vizuri tu nawenzake ila akitaka kukojoa anakujambio huku akilia na mkojo unamtoka polepole na hauishi haraka kwKuwa unamtoka kidogo kidogo.
Naomba ushauri.