Mtoto mdogo wa miezi 4 kupata choo kama makamas

Mtoto mdogo wa miezi 4 kupata choo kama makamas

TODO

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2011
Posts
219
Reaction score
62
Wataalam wa tiba naombeni msaada, mtoto mdogo wa miez kama mi4 anapata choo mara 4 kwa siku lakn choo chake kinakuwa kama kinavutika kama makamasi vile.

napanga kumpeleka hospital kesho, sio mbaya nikapata elimu kupitia hapa kwanza

submitted
 
Sijui unapatikana maaeneo gani mwa Tz mkuu! Kama unapatikana ukanda wa pwani,Tafuta majani ya mti uitwao Mkwambe yaoshe then yaponde na chuja,mpe vijiko 2 vya chakula kutwa x3 kwa siku 3. Au mizizi yake ichemshe na mpe kama hapo juu then utana matokeo yake
 
Back
Top Bottom