Sijui unapatikana maaeneo gani mwa Tz mkuu! Kama unapatikana ukanda wa pwani,Tafuta majani ya mti uitwao Mkwambe yaoshe then yaponde na chuja,mpe vijiko 2 vya chakula kutwa x3 kwa siku 3. Au mizizi yake ichemshe na mpe kama hapo juu then utana matokeo yake