Mtoto mwaka mmoja na miezi tisa kukohoa sana nyakati za usiku

Mtoto mwaka mmoja na miezi tisa kukohoa sana nyakati za usiku

loupa

Senior Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
124
Reaction score
78
Wakuu nina mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa mwenye shida ya kukohoa sana, mda mwingine anakohoa hadi anatapika

Na akianza kukohoa inachukua mda wa Hadi dk 30 mfululizo bila kupoa baada ya hapo analala.

Ila akiamka hana tatizo na siku nzima anashinda vizuri mno. Naombeni ushauri Kwa aliyewahi kupitia changamoto hii au ana ufahamu na shida hii maana ametumia dawa sana ila zinafeli

Naombeni msaada wa mawazo.....
 
Wakuu nina mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa mwenye shida ya kukohoa sana, mda mwingine anakohoa hadi anatapika

Na akianza kukohoa inachukua mda wa Hadi dk 30 mfululizo bila kupoa baada ya hapo analala.

Ila akiamka hana tatizo na siku nzima anashinda vizuri mno
Naombeni ushauri Kwa aliyewahi kupitia changamoto hii au ana ufahamu na shida hii maana ametumia dawa sana ila zinafeli

Naombeni msaada wa mawazo.....
Kamasi kutoka kwa sinuses hutiririka kwenye koo wakati mtoto wako yuko mlalo, na kusababisha kikohozi ....nenda hospital kwa vipimo zaidi
 
Wakuu nina mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa mwenye shida ya kukohoa sana, mda mwingine anakohoa hadi anatapika

Na akianza kukohoa inachukua mda wa Hadi dk 30 mfululizo bila kupoa baada ya hapo analala.

Ila akiamka hana tatizo na siku nzima anashinda vizuri mno. Naombeni ushauri Kwa aliyewahi kupitia changamoto hii au ana ufahamu na shida hii maana ametumia dawa sana ila zinafeli

Naombeni msaada wa mawazo.....
Safisha nyumba, fua mapazia, hakikisha nguo zinakaa sehemu yake, Huyo mtoto atakua sawa. Ni ishu ya usafi tu
 
Wakuu nina mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa mwenye shida ya kukohoa sana, mda mwingine anakohoa hadi anatapika

Na akianza kukohoa inachukua mda wa Hadi dk 30 mfululizo bila kupoa baada ya hapo analala.

Ila akiamka hana tatizo na siku nzima anashinda vizuri mno. Naombeni ushauri Kwa aliyewahi kupitia changamoto hii au ana ufahamu na shida hii maana ametumia dawa sana ila zinafeli

Naombeni msaada wa mawazo.....
Ok. Nimekuelewa Sana Mtoto wangu alikuwa kila ikifikia saa nane usiku anakohoa hadi anatapika kila alichokula Ndio atapata usingizi. Mchana haumwi chochote
Hospital Hakuna majibu. Ikawa namuambia Mungu shida Ni nini huyu mtoto Roho yangu inaniuma Sana usiku mtoto anateseka
Jambo likachukua Muda. Siku moja baada ya chakula cha usiku tumekaa tunaangalia TV Mungu akanisemesha Kaniambia hivi:
Muambie amtoe mtoto hizo hereni masikioni. Nikamuambia Mama yake ondoa hizo hereni masikioni kwa mtoto Akataka kuhoji
Nikamuambia fanya chap Akaondoa
Nikamuambia Asije akamvalisha tena huyo mtoto hereni.
Tangu siku Ile mtoto mwenyewe amebaki anashangaa afya tele kabisa. Usingizi Safi kabisa akiamka Ni kukojia basi anarudi kulala
Ushuhuda huu ....Uwe dawa Kwa Mtoto ukiamini. Mtoto wako Yesu amponye Ili uwe na furaha. Amen
 
Wakuu nina mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa mwenye shida ya kukohoa sana, mda mwingine anakohoa hadi anatapika

Na akianza kukohoa inachukua mda wa Hadi dk 30 mfululizo bila kupoa baada ya hapo analala.

Ila akiamka hana tatizo na siku nzima anashinda vizuri mno. Naombeni ushauri Kwa aliyewahi kupitia changamoto hii au ana ufahamu na shida hii maana ametumia dawa sana ila zinafeli

Naombeni msaada wa mawazo.....
Huyu mtoto wachawi usiku wanakuja kumchezea inaonyesha nyumba au chumba unacho ishi kuna wachawi wanaingia usiku kumchezea ndio maana anaumwa sana usiku mwingi. Fanya hivi kwanza huduma ya kwanza unapolala usiku washa taa mahali anapo lala na kisha umuweke kipande cha kitunguu swaumu chini ya mto anapo lala.Ukitaka kinga dhidi ya wachawi wasiweze kuingia ndani ya chumba au nyumba yako nione kwa wakati wako iliniweza kukupa kinga wachawi wasiweze kuingia ndani ya chumba au nyumba yako. Auguwe pole.
 
Hapo hakuna cha uchawi wala ugonjwa, hicho ni kimeo mpeleke hospitali akaangaliwe
 
Back
Top Bottom