Halafu huyo naye atasimama mbele za watu ajiite mama (naona keshasahau uchungu wa labour na kila kitu kinachomfanya mtu aitwe mama au baba)...inatia kinyaa....Agrrrr......😡😡😡
Kwa mwendo huu sitashangaa na akina baba nao wakianza kuwapigia bao watoto wao wa kiume....I can't imagine nianze upuuzi wa kuwawindia my boy???? Uchafu tu....!