Assume umezaa na Mwanamke na huyo Mwanamke akaolewa na Mwanaume Mwingine je huyo mtoto sasa uhalali wake unahamia kwa huyo mwanaume mwingine au uhalali utabaki kwako?
Na je mfano wewe ukoo wako ni Shio sasa yule mwanamke ameolewa (kaolewa mtoto akiwa bado mdogo) kwenye kabila lingine labda huko Bukoba, je kabila la mtoto litakuwa lipi na ukoo wake?
Nipeni Msaada wa haraka ndugu
Na je mfano wewe ukoo wako ni Shio sasa yule mwanamke ameolewa (kaolewa mtoto akiwa bado mdogo) kwenye kabila lingine labda huko Bukoba, je kabila la mtoto litakuwa lipi na ukoo wake?
Nipeni Msaada wa haraka ndugu