Mtoto wa Charles Kimei afunga ndoa Jijini Dar. Kweli mjini pesa shikamoo kelele

Ndio maana watu wana mitizamo tofauti kwny maisha,no. hio hio unayoiona wewe ni 6 aliyesimama upande wa pili anaiona ni 9.
 
Ndoa maaskofu watatu. Hivi na za waumini wa kawaida huwa zinakuwa hivi? KKKT kwa kupenda wenye pesa tu. Yaani Shoo katoka Kilimanjaro kuja kufungisha ndoa Dar?Ama kweli Yesu peke yake ndo hakuwa mbaguzi.

Waumini wa kawaida mwenyewe ushatamka yaani waumini wanaoishi buza, magulumbasi, uswekeni huko hata ukifa utajijua mwenyewe
 
Ndio maana watu wana mitizamo tofauti kwny maisha,no. hio hio unayoiona wewe ni 6 aliyesimama upande wa pili anaiona ni 9.
Wewe unaonaje mkuu? Maoni yako tafadhali .

Kumbuka hata kama wengine 6 wataiona kuwa ni 9, bado haiondoi ukweli kuwa 6 itabakia kuwa 6 na 9 haiwezi kuwa 6 na kinyume chake.

Vv
 
Harusi ya mwanangu mlwafu nadhani gharama zake haikuzidi hata kipaimara cha mtoto wa kimei
 
Hahaaaahaaa dah
Ikiitishwa Harambee kanisani unajificha au ukilazimishwa unachangia Jero. Wenzako wanachangia mamilioni halafu mnataka huduma sawa. Pambana na wana VICOBA wenzio huko Kipunguni.
 
WaTz hawana zuri kuna siku mdada wa watu watamwita gold digger.
 
Sijawahi kuona maaskofu wa RC wanafungisha ndoa chilia Mbali maaskofu kadhaa kukusanyika kufungisha ndoa kwa RC sijawahi ona sijui ni kwanini.
Kaa kimya kama hujaona kwenye ndoa tafuta kwenye misiba wapo kibao hao maaskofu wakatoliki wakiwazika wakubwa.
 
Ilikuwa harusi ya mtoto yupi wa jpm? Maana ana watoto 3 au 4 hivi?
 
Kweli pesa shikamoo,maaskofu walivyojaa utadhani wanamsimika askofu mwenzao kumbe wapo kwenye harusi,sijui harusi ya mwanangu huku Pugu maaskofu watakuwepo kufungisha ndoa ya mwanangu.
Hapo kila mtu anaondoka na bahasha yenye ujazo wa kueleweka

Japo cover ni Shukrani sana Baba Askofu jmn...Ni kwa neema tu ya Mungu jamani lol ashoooong....
 
Hakuna maono yoyote
Mkoloni aliwahi kwao wakawahi shule
Ndo mana siku hizi makabila yote yako kila sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…