katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Hizi pics chioma lazima karoho kamdunde..... Ndo shida ya kudate na wakaka wenye watoto !!!!Mtoto wa Davido anamafuta yake yanaitwa Aurora .
Mtoto wa Davido Amefanya onyesho hilo huko Nigeria na kutambulisha mafuta yake hayo mapya.
Nahizi ndizo picha za yeye na wazazi wake.
Mtoto huyo wakike wa Davido anaumri wa miaka 4 ila amenzisha biashara hiyo yakuuza mafuta ya nywele.
Ni ya mtoto wake pesa inaenda kwa account yake kumbe hujuagi upo nyuma sana.badili heading na kuwa davido aanzisha biashara ya mafuta ya nywele kwa kutumia brand ya mtoto wake
rejea the law of contract.... inasemaje for a person under 18 yrs ....inamueleza kama ni minor asiyeweza kuingia mkataba wowote na atasimamiwa na mzazi au any trusted personNi ya mtoto wake pesa inaenda kwa account yake kumbe hujuagi upo nyuma sana.
Najua hilo kabisa ila hela haziguswagi namtu iko hivi kuna account mbili mona savings account hii haiguswi na business account hii inaguswa so faida ikiingia inakatwa mara mbili ya biashara inawekwa ili iendeshe biashara na ingine ni hifadhi yake na hadi atimize 25 ndio anakabidhiwa sio 18 halafu ni ya business account sio savings ili asitumie ovyo.rejea the law of contract.... inasemaje for a person under 18 yrs ....inamueleza kama ni minor asiyeweza kuingia mkataba wowote na atasimamiwa na mzazi au any trusted person
inshort hapo hata hizo account zipo chini ya wazazi na wao ndio wana access nazo
thats wat i meant katoto kazuri hizo ni lugha za kibiashara tu zisikuchanganye
Hizi ni sheria za naija,tz,au binafsi za davido na family yake?Najua hilo kabisa ila hela haziguswagi namtu iko hivi kuna account mbili mona savings account hii haiguswi na business account hii inaguswa so faida ikiingia inakatwa mara mbili ya biashara inawekwa ili iendeshe biashara na ingine ni hifadhi yake na hadi atimize 25 ndio anakabidhiwa sio 18 halafu ni ya business account sio savings ili asitumie ovyo.
Ya kumi nanane ni personal account tu ndio atakabidhiwa .
Ila kuna ile ingine yake ila wazazi watampa akiwa kaolewa au amekuwa matured zaidi.
Biashara lazima uwe na account mbili savings account na business endapo umekwama hiyo ya savings itakusave na biashara inaendelea.
So tofauti na personal account ambayo kuna ya kuitumia na kutoitumia.
Yes best ndio hali halisi.
Hizi ni sheria za naija,tz,au binafsi za davido na family yake?
Hizi ni zangu na familia tarajiwaHizi ni sheria za naija,tz,au binafsi za davido na family yake?
Mi ndo sitaki hata kusikia,mwanaume mwenye MTT/watt ni shida!Hizi pics chioma lazima karoho kamdunde..... Ndo shida ya kudate na wakaka wenye watoto !!!!
Hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ni sheria za naija,tz,au binafsi za davido na family yake?
Hata mtoto wa diamond alifungua account insta akiwa na umri wa mwezi mmoja.
Najua hilo kabisa ila hela haziguswagi namtu iko hivi kuna account mbili mona savings account hii haiguswi na business account hii inaguswa so faida ikiingia inakatwa mara mbili ya biashara inawekwa ili iendeshe biashara na ingine ni hifadhi yake na hadi atimize 25 ndio anakabidhiwa sio 18 halafu ni ya business account sio savings ili asitumie ovyo.
Ya kumi nanane ni personal account tu ndio atakabidhiwa .
Ila kuna ile ingine yake ila wazazi watampa akiwa kaolewa au amekuwa matured zaidi.
Biashara lazima uwe na account mbili savings account na business endapo umekwama hiyo ya savings itakusave na biashara inaendelea.
So tofauti na personal account ambayo kuna ya kuitumia na kutoitumia.
Yes best ndio hali halisi.
Hizi ni sheria za naija,tz,au binafsi za davido na family yake?
Akikujibu ni taG.??
Hizi ni zangu na familia tarajiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]i rest my case [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]