Mtoto wa Dimond

uskute hata partner wako ana hizo swagger Kweli firstlady anateketea...
 
alafu Dimond ndio nani isije ikawa tunamfikiria mtu kumbe si yeye na huyo Dimond wa Arusha ni msanii wa muziki gani maana sijawahi sikia m/muziki anaitwa Dimond
 

Sina uhakika kama Wilaya ya Hai ipo Mkoa wa Arusha!
 
haya mambo bwana watu wanapata tabu kupata ujauzito wakiwa na waume zao lakini wanapotembea na watu maarufu tu wanashika dah wasichan wakati mwingine tunatia aibu unakutana na mtu hata bila kinga na waka contact nae unazijua na ndo umekutana nae inawezekana baada ta show ndo aliofa kumpa diamond that gift then amsukumie mtoto hii balaa ila na mashaka kwamba hata huo ujauzito ni wa jamaa mana kwa tabia hiyo am sure huyo dada anagawa kwa wengi sana.
 
Huyo dada mjinga tu aache kutafuta umaarufu kwa jina la wengine.
 
Hizo ni fixi za ndoto zake tu huyo binti na hii huwatokea mastaa wengi tu duniani.

Munakumbuka nyimbo ya Billie Jean ya Michael Jackson? Inasemekana ile ilikuwa ni stori ya kweli kulikuwa na kasichana kalijibandikisha mimba halafu kakasema ni MJ.
 
Baridi ya Machame imejibu, halafu hiyo hotel ni ya kigogo wa serikali?
 
One night bila condom??????????? Huo ni ubwege wa hali ya juu sana
 
Mbona kama vile watu mmeipokea kwa kuiamini hiyo habari kirahisi hivyo? Hamuoni kuwa kuna uwezekano ikawa ni uzushi?
 
Makubwa haya, Hana hata namba ake, loo. Huyo mtoto atakataliwa tu.
 
Iwe kweli ni mimba yake au si yake........lakini
PEKUPEKU NI HATARI NDUGU ZANGU
Imeandikwa
TUMIA KONDOM KWA USAHIHI KWA KILA TENDO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…