Mtoto wa Dimond


Huyo mshamba mdada anataka kupiga hela ili ajue atokee wapi....................atanyukwa na jokate na wema ohoooo.......bomang'ombe pamejaa malaya kila kona Ukienda Ango, Snow view, First choice, Diplomat, Las vegas eta.....hapafai na maroli yalianzaga kupaki kama kule hedaru lakini wazeee wakashtuka wakajenga kingo za barabara......:mad2:
 
Kuna kaka kasemwa kule kwa muke ya muzungu huwa anaamka usiku akikosa kazi anarusha thread ya uongo humu jf, i hope si wewe uliyeanzisha hii thread
 
hiyo hotel ni ya mtoto wa ndesamburo aitwaye tom, tom ana hela ila ni mzungushaji mzuri( tapeli) nimewahi kufanya naye kazi.
 
huyu demu nae kilaza! unaendaje kulala na mwanaume usiyemjua au kwa 7bu ni star? ulimbukeni ukamponza hakutumia hata kinga mbaya zaidi hata mawasiliano ya simu hana! naona kama nasoma hadithi ya alfu lela ulela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…