Mtoto wa Dudu Baya; Baba yangu siyo shoga na hawezi kufanya upuuzi kama huo

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Mtoto wa Konki konki konki Master Dudu Baya amefunguka kuhusu tuhuma zinazomkumba baba yake za kumuhusisha na ushoga na kusema baba yake siyo shoga. Wille amesema anachofanya baba yake ni kuwataja wahusika lakini yeye siyo shoga.

Mtoto wa Dudu Baya pia amesema kuwa shoga ni maamuzi ya mtu binafsi japo kijamii ni jambo ambalo siyo zuri na anajisikia vibaya mtu wake wa karibu akifanya vitendo hivyo.

MY TAKE
Huyu dogo inamaana story ya baba yake na Bilal Mashauzi hajaisikia kabisa au anajitoa ufahamu?

 
Mtoto mwenyewe naye matatizo matupu alikimbia nyumbani kwao akaenda Maisha ya ghetto watu wamejilia vyao mpaka akaenda kuomba msaada kwa dully Sykes.
kujilia vyao umemanisha nini hapa?
 
kujilia vyao umemanisha nini hapa?
Alisema ameishi maisha magumu baada ya kuacha shule na kuondoka kwao na kuishi maisha ya ghetto mpaka "anatendewa vibaya" na wenzake amechoka maisha hayo hivyo dully Sykes amsaidie maana anaelewana na baba yake(Yaani dudubaya). Dully akamkataa hawezi kumsaidia bila ridhaa ya baba yake baba yake alifuatwa akamkataa pia kwamba amechagua maisha hayo ya geto na amekimbia shule na akamkimbia dingi akaenda kwa maza acha mtaa umchape tu. So Dogo ndio hivyo alitendewa vibaya. Nafikiri umeelewa
 
Sema hapo kwenye "anatendewa vibaya" ndiyo pagumu hahaha
 
Sema hapo kwenye "anatendewa vibaya" ndiyo pagumu hahaha
Kuna mahojiano yao yeye,baba yake,nyandu toz na dully wasafi TV. Baada ya maisha kummshinda Kitaa. Nyandu toz yeye hakusema sana alisema tu alimpokea Kitaa Dogo kwa sababu na yeye alilelewa na DarSkendo ya dudubaya, dogo akahustle akaondoka yalipomshinda akarudi kwa Nyandu akamkataa ndio akaenda kwa dully.
 
Mama ake si ndio kasema dudu alikuwa anamla bilali, na yeye dudu madem zake wamesema analiwa ndio anakula? Akamshauri babake apimwe marinda na yeye akapokee majibu ya daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…