Mtoto wa kigogo ahusishwa tukio la ubakaji hoteli ya KNCU

Kaka Maishapopote, umeamua kupasua jipu?? Basi tulishamjua kidume aliyefanyiza!

si kweli,huyu mtoto wa kigogo ni mtoto wa mama kasanova ambaye kimsingi ni mtoto wa nje wa mdogo wake Mzee Mengi anaemiliki hotel ya Salsalnero,
 
huyu mtoto wa kigogo si mtoto wa mwanasiasa ila ni mtoto wa mzee mmoja maarufu hapo moshi na ana hoteli hapo mjini jina la huyo mtoto anaitwa michael kimambo na baba yake ana hotel inaitwa rombo cottage

Thanks... where we dare talking openly
 
Jamani hayo mambo Mtwara ndo mwake, kua kikosi kazi, ukijulikana unakula cha mtu lazima uliwe....which is quite fair. Isn't it?
 
Jamani hayo mambo Mtwara ndo mwake, kua kikosi kazi, ukijulikana unakula cha mtu lazima uliwe....which is quite fair. Isn't it?

Fair is what the law determines. Hizo extra-judicial activities zote ni illegal na ukipatikana kama mimi ningekuwa hakimu nakupa maximum sentence, maana huna chembe ya ubinadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…