Mtoto wa kike unakomalia nichkue kilo mbili ya mdudu na ndiz juu,duuh

Mtoto wa kike unakomalia nichkue kilo mbili ya mdudu na ndiz juu,duuh

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
wakuu kuna bint wala sio dem wangu ila ni rafiki wa haja,yan friend wit benefits,.ndo nipo njian narud zangu nikutane nae bamaga hapo sasa nmemdanganya nishafika tayar kwenye eneo la tukio,(baa)
Sasa ananambia niagize nyama nying,namuuliza kilo si inatosha,et heeee,kilo haitosh hajala toka ale asubuh,..et agiza kilo mbili,..af hii ni mara ya pil huyu dem.

Leo nmewakimbia madem zangu woteee,nna furahaa,bora nile na rafk yangu valentine,ila nahis ntaenda mgonga huyu leo
 
wakuu kuna bint wala sio dem wangu ila ni rafiki wa haja,yan friend wit benefits,.ndo nipo njian narud zangu nikutane nae bamaga hapo sasa nmemdanganya nishafika tayar kwenye eneo la tukio,(baa)
Sasa ananambia niagize nyama nying,namuuliza kilo si inatosha,et heeee,kilo haitosh hajala toka ale asubuh,..et agiza kilo mbili,..af hii ni mara ya pil huyu dem.

Leo nmewakimbia madem zangu woteee,nna furahaa,bora nile na rafk yangu valentine,ila nahis ntaenda mgonga huyu leo
vipi kile kigume gume umeshakikimbia? Chenyewe hakikuasumbuwa? au ni wale wale wasiojua kupika? Duu kumbe unawazoesha mwenyewe kuwanunulia chakula Baa
 
siku hizi ulimbo sio chips mayai.. mambo ni mdudu... dah umekumbusha mbali sanaaaa
 
vipi kile kigume gume umeshakikimbia? Chenyewe hakikuasumbuwa? au ni wale wale wasiojua kupika? Duu kumbe unawazoesha mwenyewe kuwanunulia chakula Baa
Hahahaha mkuu,wanaume tuna majarib,tatzo mtego tuliowekewa ni papuch so unakua huna ujanja,..had samson na nguv zake zote alinywea kwenye papuch
 
siku hizi ulimbo sio chips mayai.. mambo ni mdudu... dah umekumbusha mbali sanaaaa
Mi madem weng naokutana nao skuhiz wanakwambia kabsa,kuku hawatak wala mbuz wala chips,wao wanagonga mdudu na wine kali
 
Back
Top Bottom