vipi kile kigume gume umeshakikimbia? Chenyewe hakikuasumbuwa? au ni wale wale wasiojua kupika? Duu kumbe unawazoesha mwenyewe kuwanunulia chakula Baawakuu kuna bint wala sio dem wangu ila ni rafiki wa haja,yan friend wit benefits,.ndo nipo njian narud zangu nikutane nae bamaga hapo sasa nmemdanganya nishafika tayar kwenye eneo la tukio,(baa)
Sasa ananambia niagize nyama nying,namuuliza kilo si inatosha,et heeee,kilo haitosh hajala toka ale asubuh,..et agiza kilo mbili,..af hii ni mara ya pil huyu dem.
Leo nmewakimbia madem zangu woteee,nna furahaa,bora nile na rafk yangu valentine,ila nahis ntaenda mgonga huyu leo
Form four [emoji275]hivi kuna Shule bado hazijafunguliwa?
Hahahaha mkuu,wanaume tuna majarib,tatzo mtego tuliowekewa ni papuch so unakua huna ujanja,..had samson na nguv zake zote alinywea kwenye papuchvipi kile kigume gume umeshakikimbia? Chenyewe hakikuasumbuwa? au ni wale wale wasiojua kupika? Duu kumbe unawazoesha mwenyewe kuwanunulia chakula Baa