Mtoto wa kitanga anahitajika!!

Mimi mwenzenu natafuta mchumba wa kuoa kiukweli na experience yangu inaonyesha watoto wa kitanga na wachache wa pwani wametulia kwenye majambozi,

Mhh? Kweli wee ni Mzee wa Fiksi! juzijuzi hapa umekuja na story ukiwafagilia watoto wa kisauzi na mayowe yao wanayopiga! Mi nikajua utabeba mtoto wa bondeni ili uendelee kufaidi mayowe! Sasa mbona hujaweka 'mayowe' kama moja ya sifa mkuu?
 

Basi samahani boss ..kama wewe si mchimba choo niwie radhi mkuu..
 

Si ufunge safari uende Tanga/Zenji/Kilwa ukawatongoze vizuri ebo!
 
fiksiman unajikosha tu,
kama kweli unataka binti wa kitanga nenda kwa watanga ukajichagulie mwenyewe, unadhani kuna swala anayemkimbilia simba?

nakumbuka wakati ukiwa mdogo wakati nasaka mke niliwajibika kuingia ktk mbuga husika kisha nikaopoa swala wangu swaaafi nikajibebea na sasa ninaye miaka kibao sasa. do the same dogo
 
Olalalalaaaah mzee wa tiGo huyu! Anazuga tu

hehehe mkuu huyu fiksiman akipata mzigo huo walah lazima aniache kwa sadala si bure....mkuu nenda hapo Sikazone usipime...
 
ila ile kigezo cha makalio kimenistua mtima wangu sana. ah wacha nipitepite uswahilini hata nikisikia harufu ya septik itakuwa kama ugoro vile.
 
naona ndugu yangu fidel yupo 'emirate-stadium' yaani UWANJA WA NYUMBANI
 
naona ndugu yangu fidel yupo 'emirate-stadium' yaani UWANJA WA NYUMBANI

kwi kwi kwi mkuu umejuaje? mi hapo kwenye kigezo cha mfadhaiko ndo kimenikonga sana jamaa akipata wengi aniache kitonga sio mbaya.
 
Jamani kwenda Tanga anahitaji visa? Tena watoto wa kule hawana makuu nakumbuka kipindi kile unahonga 10,000/= msambaa anaenda kukuletea change yako (5000) unamuuliza vipi anasema mbona raha tumepeana wote?
 
kama kweli unania tembelea MuslimMatch.com | As'salaamu Alaykum kuna akina dada wazuri sana wa ki zanziber na kitanga na kimombasa, sharti tu uwe muislam kweli. Ushauri kama kweli wewe ni muislam hayo yakutaja viungo vya mchumba hadharani kama ndio sifa si uislam.
 
Mambo ya nyuma ya pazia au chini ya paa uwizi mtupu..hata hivyo kuna binti wa kisilamu muda wa kama wiki 2 au 3 zilizopita alikuwa akitafuta bilali , no i meant mchumba msilamu ..sasa kijana fiksiman, tuma CV
 
lol
ngoja nikahakikishe mwenyewe hehe

Ukahakikishe kama wapo wa kizanziber au kama yale mambo yanapatikana? Hahaha msanii usijichanganye ukapeleka usanii kwenye jumba la sanaa.
 
Nenda Lamu babu huko Utakoma mwenyewe!wachimba****wanatembea na vichupa vya****kuchukua hisia kila wakati ana nusa!
 
Ukahakikishe kama wapo wa kizanziber au kama yale mambo yanapatikana? Hahaha msanii usijichanganye ukapeleka usanii kwenye jumba la sanaa.
najihakikishia vyote vyote maana nasikia kuna watoto wa kizenji ambao bado bikra ila huko kusikotajika washeharibika, sijui ni kweli au la, ila dawa ni kuhakiki kwanza.
 
Jamani natafuta mchumba: tafadhali zingatia sifa zifuatavyo.


- Awe muislam - bikra ni sifa ya ziada

Hii kali ya huyu jamaa,sijui nikuulize maswali,nawe je hujawahi kugusa watoto wa watu?Maana kama unataka wa dizaini hiyo hakikisha nawe hujagusa watoto wa watu,isije ikawa umeshaharibu wengi.
 

Yupo mtoto mmoja wa Kitanga ana sifa zote hizo kasoro bikra (nilishakula kama mara tatu siku za nyuma kidogo). Je, atakufaa?

Tafadhali jibu ili nikupe mawasiliano.
 
hahaha kashaija naona unatafuta mtu wa kushea nae gharama za kutunza nyumba ndogo hatimaye.
ah urafiki wa kweli huo, kitu kizuri shurti ushee na mwenzio ati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…