Mtoto wa kitanga anahitajika!!

He!mbona mazito haya!wapenda mdebwedo eee!!!!!111
 
Je wataka mtanga yeyote, au wataka kabila gani toka Tanga?
 
Ati awe bna bikra......... we umejaribu kuzitunza ngapi tangu umekuwa 'mkubwa'. ?
 
Mzee wa mafix,mimi sijui kama uko siriaz au unatania,lakini nikushukuru kitu kimoja,you have made my day maana katika baadhi ya comments nimecheeeeeeeeeeeeeeka mbavu sina!
 
Last edited:
- Awe na makalio makubwa yasivunje rekodi yaani yawe dizaini ya kijungu fulani. yakitokeza sana ni sifa ya ziada

- .


Ninapotaka mimi ni hapo tu, ninapotaka mimi ni hapo tuuu..............
 
Duh nilikuwa sielewi hii kumbe bikra zinaidadi kha!

Hujanielewa kipenzi namwuliza amezitunza ngapi tangu amekuwa mkubwa kwa maana ya kuwa ni wasichana wangapi amejizuia/kukataa kukutana nao ili asiwaharibu ubikira wao!

Hutaki maji yeshe wakati wayanywa!!!
Utafulia shaurilo
 
Mwanajamii

Muulize na huyo jamaa yeye bikra anayo?

Hapo chacha shangazi maana hawa nwenzetu wepesi kweli kusema oh hana keshatumiwa kumbe watumiaji ni wenyewe vile tu hakuwa yeye. Mie nachoka kabisa.
 
Hapo chacha shangazi maana hawa nwenzetu wepesi kweli kusema oh hana keshatumiwa kumbe watumiaji ni wenyewe vile tu hakuwa yeye. Mie nachoka kabisa.

Kwani kuna mtu iwa anawalazimisha mtoe bikra hizo? Si iwa mnatoa wenyewe bila ya kushikiwa bakora.
 
Wakati watu wamegubikwa na simanzi kuhusu hatma ya nchi..
simanzi gani!!!mi nadhani kama akimpata huyo ndo litakuwa liwazo lake na maisha katika dunia ya msukosuko wa uchumi!!!
 
Wewe ni malaya na kahaba uliyekubuhu. Unahitaji jimama lenye **** nene la nini au mambo ya tigo hayo!
 
Wewe ni malaya na kahaba uliyekubuhu. Unahitaji jimama lenye **** nene la nini au mambo ya tigo hayo!

mh wewe mbona maneno yako magumu hiyo au hebuyalainishe kidogo kuficha ukali loh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…