Mtoto wa kitanga anahitajika!!

[shhhhhhhhhhhh ni yule anayefungiaga watu (ban) pindi wakienda nje ya mstari,,usijesema sijakunong'oneza]

Ah kweli aksante kunikumbusha

sasa wewe unayetafuta mchumba inabidi utuwekee picha yako (na utuhakikishie ni yako) kisha uspecify mtoto wa tang aipi wamtaka wewe maana tanga kubwa ati! haya fasta fasta
(kaizer i hope nimerudi mstarini)
 
Ah kweli aksante kunikumbusha

sasa wewe unayetafuta mchumba inabidi utuwekee picha yako (na utuhakikishie ni yako) kisha uspecify mtoto wa tang aipi wamtaka wewe maana tanga kubwa ati! haya fasta fasta
(kaizer i hope nimerudi mstarini)


Yeah umerudi ila kurudi kwako bora usingerudi kabisa manake huo mstari uliorudi nao....🙄
 
Ah kweli aksante kunikumbusha

sasa wewe unayetafuta mchumba inabidi utuwekee picha yako (na utuhakikishie ni yako) kisha uspecify mtoto wa tang aipi wamtaka wewe maana tanga kubwa ati! haya fasta fasta
(kaizer i hope nimerudi mstarini)

Ndugu yangu we unajua wazi siwezi kuweka picha yangu humu ndani maana wamejaa wafitini wa kila aina sasa nakuomba kama kweli unania ya kunisaidia fanya mpango awe na makalio ya kutosha (makubwa ni added advantage), rangi si muhimu ila na matiti yawe yaliojaa bila kuanguka. asiwe mrefu sana awe mnene wastani sio tipwa tipwa, akiwa na sifa hizo hata kama sio bikra atanifaa.
 

Hahahaa makubwa madogo yana afadhali mara nataka mwenye bikra mara hata kama sio bikra atanifaa baba fiksi sema kweli unachohitaji watoto wa kitanga/pwani watakustukia, halo halo mtandao wa simu
 
Jamani natafuta mchumba: tafadhali zingatia sifa zifuatavyo.

- Awe na makalio makubwa yasivunje rekodi yaani yawe dizaini ya kijungu fulani. yakitokeza sana ni sifa ya ziada

- Awe muislam - bikra ni sifa ya ziada

Mkuu unategemea kumpata mwenye sifa hizi mbili kwa pamoja? Haya ndugu yangu, wishing you luck......
 

Yupo mwenye sifa zote hizo ila anatoka Musoma - upo tayari nikupe contact zake?
 
Mhh? Kweli wee ni Mzee wa Fiksi! juzijuzi hapa umekuja na story ukiwafagilia watoto wa kisauzi na mayowe yao wanayopiga! Mi nikajua utabeba mtoto wa bondeni ili uendelee kufaidi mayowe! Sasa mbona hujaweka 'mayowe' kama moja ya sifa mkuu?

Mkuu,

Una masikhara sana,nimecheka sana loh!

Hata mimi natafakari kuanza kutafuta mchumba sasa
 
alietaja, ****** makubwa, sijui Tanga Zenji,Pwani ni wewe.
Waliosema wewe mzee wa tigo wamekosea wapi?UKIINGIA BAR UAGIZIE KONYAGI, kuna kosa mtu akisema mzee wa kilevi kikali? kwani ****** unataka unataka ukayafanyie nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…