Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 915
- 54
Rafiki yangu wa karibu amenijia na shida yake, imenishinda nimeona niilete kwenu, nayo ni;
Amebahatika kupata mali za kutosha, lakini bahati mbaya ana watoto wa kike tu, na mkewe amefungwa kizazi kutokana na kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua mala 3,
Anataka apate watoto wa kiume japo wawili kwa njia yoyote ile, iwe ya kuokota mtoto wa kiume, kuzaa na mtu yeyote mradi mtoto akizaliwa awe wa kiume au vyovyote vile.
Tunamsaidiaje?
Amebahatika kupata mali za kutosha, lakini bahati mbaya ana watoto wa kike tu, na mkewe amefungwa kizazi kutokana na kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua mala 3,
Anataka apate watoto wa kiume japo wawili kwa njia yoyote ile, iwe ya kuokota mtoto wa kiume, kuzaa na mtu yeyote mradi mtoto akizaliwa awe wa kiume au vyovyote vile.
Tunamsaidiaje?