hatuko Jf kushabikia uzinzi hata mara moja
mkeo kafungwa kizazi mtoto wa nini.na nakuhakikishia kama mungu wa nazareti akiwa hai
kama mali unaona zinamfaa tu MTOTO WA KIUME NAKUTANGAZIA KUZAA WATOTO WA KIKE
hadi mwisho wako na kukuahikishia wa kike ndio watakaonda kuchambua mali zako
UZAE NA BAAMEDI/BEKI TATU/HAWARA YOYOTE MWAMBI KWA ALIVYOANZA NAMTANGAZIA KUMALIZA
WA KIKE KAMA ATATHUBUTU KUZINI....NENDEN MKAMUULIZE MFANYABIASHARA SUNDA WA ARUSHA SWALA LA WA KIKE NA WA KIUME
ANAMJUA MUNGU NI NANI ALIFIKIRI MUNGU NI SUNDA UNAAMUA ANAVYOTAKA
jamani kwa kweli nimeboreka na inanitisha kwamba katika kizazi hiki bado kuna watu wa mawazo haya. yani kweli hao watoto wa kike hawana haki ya kurithi hizo mali hadi wawe wa kiume? naomba niwe tofauti this is unfair and an insult, kwa mkewe, kwa hao watoto wake wa kike na hata kwa Mungu wake. Mungu ndo muamuzi mtu azae mtoto gani. Kama haridhiki kiasi hicho aadopt mtoto wa kiume lakini mkewe anaweza kummistreat huyo mtoto akijua anakuja kurithi mali za wanae. da hii imeniumiza personally aisee.
Rafiki yangu wa karibu amenijia na shida yake, imenishinda nimeona niilete kwenu, nayo ni;
Amebahatika kupata mali za kutosha, lakini bahati mbaya ana watoto wa kike tu, na mkewe amefungwa kizazi kutokana na kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua mala 3. Anataka apate watoto wa kiume japo wawili kwa njia yoyote ile...
Kama ni mali atawapa wote, ila wasi wasi wake ni kwamba, hawa watoto wa kike wanaweza kuolewa na hizo mali zake zikasambaratika zote, lakini wa kiume ataoa na kuishi pale pale na kuziangalia vizuri mali hizo.Kaitaba, jamaa yako anataka apate mtoto wa kiume ili AMUACHIE HIZO MALI ZAKE???
Au anataka awe na mtoto wa kiume ndani ya nyumba tu? - kama ni hii, anaweza kwenda kuadopt kama wanavyoshauri wengine.
u said it well cis, kama ana wanawake tu, waume zao ndo watakuwa wanaye wa kiume. Mshukuru Mungu kaka kwa kuwapata hao maana kuna wanaohangaika mchana na usiku kutafuta mtoto lkn hawapati!Huyo nae mtoto ni mtoto mie sina msaadahapa ..naona ana matatizo
naona kweli mnahitaji msaada ndugu zangu.Rafiki yangu wa karibu amenijia na shida yake, imenishinda nimeona niilete kwenu, nayo ni;
Amebahatika kupata mali za kutosha, lakini bahati mbaya ana watoto wa kike tu, na mkewe amefungwa kizazi kutokana na kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua mala 3,
Anataka apate watoto wa kiume japo wawili kwa njia yoyote ile, iwe ya kuokota mtoto wa kiume, kuzaa na mtu yeyote mradi mtoto akizaliwa awe wa kiume au vyovyote vile.
Tunamsaidiaje?