Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah tarehe 25 ? Afadhali si jpili/ nitatega watu hadi kieleweke ? Sijui nitoke na nani?zingatia haya.
Wanasemaga
a) sperm y (ambao ndio wanatengeneza boy) wanaogelea kwa spidi kubwa kufika kwenye yai lakini wanakufa haraka.
b) sperm x (ambao ndio wanatengeneza girl) wanaogelea slow lakini wanachukua muda kufa
n:b) hapa tunajifunza kwamba kumbe wanawake ni wavivu tangu wanapokuwa sperm na vidume havina uvumilivu, vinakufa haraka.
Bek to topik.
Kwanza elewa kwamba hii ni game of chances na haina guarantee lakini zingatia yafuatayo.
-ili upate mtoto wa kiume hatua ya kwanza inabidi ujizuie na sex takriban siku nne kabla ya ovulation yako, kumbuka ukisex siku hizo ina maana x sperm wanaweza kusurvive mpaka siku unaingia kwenye ovulation lakini y sperm hawatoweza na hivyo utakuwa na chance kubwa ya baby girl.
- kwa vile y (boy) sperm wanaogelea faster kuliko x (hawa x wavivu kweli wallahi) inabidi uhakikishe unasex siku ambayo unaovulate (lengo ni kwamba y sperm afike mwanzo kwenye kurutubisha yai na hivyo kukupatia kidume).
Tukirudi kwenye suala lako la msingi la tarehe ngapi? Hii itategemea na cycle yako ya mwezi na pia ni muhimu kwako kujielewa kile kipindi unachoovulate, lakini kama mzunguko wako ni siku 28, tarehe 25 ambayo itakuwa ni siku ya 13 itakuwa ni best kwako kujaribu (usisahau ile kuacha sex siku nne kabla ya hii siku), na pia kumbuka its not guaranteed.
Nb: Nina f ya biology form 4, changanya na za kwako
Mimi sipendi kabisa uzinifu lakini kwavile una shida nitajitolea kukusaidia, nikufate wapi? Tena toto lako litakuwa na akili kwel kwel manake asili yetu sote tunafanya kazi ubalozinidah tarehe 25 ? Afadhali si jpili/ nitatega watu hadi kieleweke ? Sijui nitoke na nani?
mwaka huu lazima nizae jpili nitadaka hata muuza mchicha mtaanimimi sipendi kabisa uzinifu lakini kwavile una shida nitajitolea kukusaidia, nikufate wapi? Tena toto lako litakuwa na akili kwel kwel manake asili yetu sote tunafanya kazi ubalozini
mapacha napenda sana huwezi kujitaidi hata umix?
suppose umeona siku zako anzia tarehe 13 march ni siku zipi za kupata ujauzito wa mtoto wa kiume?kama huna jibu tafadhali kaa kimya sitaki confunsion
unafanya mara ngapi ndo unampa mtu mimba?
mwaka huu lazima nizae jpili nitadaka hata muuza mchicha mtaani
Mimi sipendi kabisa uzinifu lakini kwavile una shida nitajitolea kukusaidia, nikufate wapi? Tena toto lako litakuwa na akili kwel kwel manake asili yetu sote tunafanya kazi ubalozini
Yale yale mtoto hana baba mara ooh baba mkimbizi mara ooh baba msomali mara ooh baba mmarekani mweusi kila la kheri
ahh wewe ...kuwa wewe baba basi ilikusiwe na utata wa baba....tutajua tu baba wa mtoto ni mende....😛eep: