Mtoto wa Magufuli afeli form four

Status
Not open for further replies.
huyu kafaulu HGL inakubali

aise kwani ili waseme kombi imekubali inatakiwa DDC au CCC nimeona yeye kapata matokeo haya

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="width: 6%"]
S1071/0102​
[/TD]
[TD="width: 4%"]
F​
[/TD]
[TD="width: 22%"]JESCA JOHN MAGUFULI[/TD]
[TD="width: 6%"]
30​
[/TD]
[TD="width: 4%"]
IV​
[/TD]
[TD="width: 58%"]
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-F​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
mi siwacheki isije ikanirudia na niye mwanangu akataga
una uhakika gani kama ni wako kweli mpwa
nakushauri yasije kukuta ya dk magufuli kapime dna mapema usije tunza mpakahuku
ukakuta umetunza wa mwenzako ni siri yako tu mi na wewe
 

mwenzio alipita na misamaha ya baraza enzi hizo pepa nje nje sasa hizo combi kubalance hata ajui anachoongea msamehe asubiri mwanae kutupa mistari ya mashairi tutoke vipi
 
MADRASA at work!

Huyo Magufuli ana madrasa, uko sawa huko upstairs wewe?

Na kwa nini mutangaze matokeo ya wanafunzi ambao wazazi wao ni viongozi, siyo vizuri hivyo. Nyinyi munao ndugu kibao ambao wamefeli. Wao sio wanaoongoza nchi mumebaki hamuna la kusema munawaonea bure.
 
Nimefurahi sana! Inaelekea baba yake hajamfundisha technics za kukalili...
 
(kwel nimeamin madrasa znaharibu na ucmwamin mtoto wa ke )


unamaanisha nini mbona huko wazi, Madrasa na Magufuli kuna uhusiano gani?
 
Daaaaah sasahuyu hata ualimu haendi afadhali yule wa mkulu ualimu anaweza kwenda .sio mbaya lakini atamuombea ferry kukata tiketi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…