Huyu salma yupo kwenye mitandao fb au insta? Nataka nimjue na anatumia salma nani? Na ni mke huyu mmoja wa masudi au yupo mwingne coz kuna mtu anadai wapo wawiliMama wa huyu Malcom walishaachana na Masoud anaitwa Sarah Chande....Masoud Ana mke mwingine anaitwa Salma.....wote warembo Ila mi nampenda Sana Sarah..mama yake Malcom
Chief sidhani kama ni Myesthernia Gravis, I think ni Duchenne Muscular Dystrophy SyndromeUgonjwa wake inaitwa mysthenia gravis au immune disorders...
Alale mahali pema
Huyo mzee hataki mtu apakie gari nje kwake,kuna siku niko dar nimepaki hapo kwake akanitoa nduki....ndio nlipomfahamu huyo mzeeNamjua huyo dada ni mtu wa watu sana. Nyumbani kwa mzee wake ni opposite na mlimani city. Karibu na Mwenge tower
Azae mwingine maisha yaendeleeYaani Sarah ni mwanamke shupavu imagine aliacha ajira yake ili awe na muda wa kumhudumia mwanae.....mtoto wake wa pekee kamuacha daah....Bora masudi Ana watoto wengine kwa mke wake wa sasa
Salma yupo insta Ila huwa hajipost yeye anampost mume na watoto tu anatumia salma_masoudkipanya....kuhusu kuwa na wake wawili mi sijui kwa kweli...mi nlikiwa najua anahuyo mke mmojaHuyu salma yupo kwenye mitandao fb au insta? Nataka nimjue na anatumia salma nani? Na ni mke huyu mmoja wa masudi au yupo mwingne coz kuna mtu anadai wapo wawili
Kipanya anapewa pole sana sababu yeye ni maarufu, lkn pia sio tatizo mmoja kuacha kazi kumhudumia mtoto wakiacha wote nani atatoa esa za matibabu? Chakula? Unajua kua alikua anahitaji special treatment? Nani angecover hizi costs wote wakikaa nyumbani kuhudumia mgonjwa. Kwangu wote they deserve kupewa pole na zikizidi kwa masoud sio issue kwa kua anajulikana zaidi.
Sisi ni wa Allah na
Ok....basi nilikuwa nafananisha na huo ugonjwa kumbe ni tofautiChief sidhani kama ni Myesthernia Gravis, I think ni Duchenne Muscular Dystrophy Syndrome
Dini kuelekezana tunajifunza kwa ma Sheikh km nyie kila siku asante Mash-AllahAmin thuma amin
Elimu kdg kama hutojali tunapaswa kumuomba Allah amuepushe na adhabu ya kaburi kwani hata adhabu yake ikiwa ndogo bado hatuwezi kuistahimili.
Mungu tunamwomba ampe pepo na kumuepusha na adhabu ya kaburi