DOKEZO Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
duuuh,,apo kingine tunaweza sema tumtoe pale yule mtoto kumbe mazingira aliyotoka ndo magumu zaidi ya hayo kwa mama Nancy,coz miaka 10 ni mdogo sana jamani,lazima kuna mengi nyuma ya pazia,,sawa atatolewa pale je anaweza pata msaada wa kudumu !?
Umeona muheshimiwa?Tusihukumu haraka mnoo!
 
Prof ndalichako yupo vizuri kwenye kazi ya kiutendaji but sio kuelezea jambo, anaweza akawa na point but kumuelewa na wewe uwe genius la sivyo utaona kama anaongea manjegeka tuu
 
Prof ndalichako yupo vizuri kwenye kazi ya kiutendaji but sio kuelezea jambo, anaweza akawa na point but kumuelewa na wewe uwe genius la sivyo utaona kama anaongea manjegeka tuu
Prof Joyce Ndalichako ni mtu na nusu kiakili.Changamoto ni kujieleza promptly. Hawezi masikini.Kweli Mungu hakupi vyote.Lakini ni wetu hatumuachi.
 
Prof ndalichako yupo vizuri kwenye kazi ya kiutendaji but sio kuelezea jambo, anaweza akawa na point but kumuelewa na wewe uwe genius la sivyo utaona kama anaongea manjegeka tuu
Hana akili ya social issues., anafaa huko kwenye mambo magumu ya kufikia nyota zilizo umbali wa miaka minne ya spidi ya mwanga.

Ndalichako angeweza tumika sehemu zingine muhimu sentivie za usalama wa taifa, kwa watu wasiolewa ana degrees mbili za hesabu kwa kumaikiliza tu ni mtu wa hovyo tu (she doesn’t come across as.clever).
 
Mbona unakosa maarifa embu mtag mh
 
Duh!🤔
 

Dkt. Gwajima D
 
Ndugu zangu Watanzania, Jambo usilopenda mwanao afanyiwe basi usifanye kwa mtoto wa mwenzio kwa sababu ya dhiki au umaskini wake,


Mleta taarifa amefanya kazi kubwa ya kukusanya taarifa iliyoshiba na isiyotia mashaka, tunapaswa kumpongeza kwa hilo, nawasikitikia Sana mnaomuandama mleta mada , labda ni kwa sababu hamna huruma au ubinadamu.


Mamlaka husika sasa mchukue hatua na mtoe mrejesho ili watu wawe na muamko wa kutoa taarifa hizi zinazohusu unyanysaji na Ukatili.


Kwako Dkt. Gwajima D
 
Haya haters wa waarabu endeleeni kuwaona waarabu wabaya na wakatili, mfuatilieni huyo dogo muulizeni kama anapata walau 30k per month, kazi kuwasema waarabu.
 
Haya haters wa waarabu endeleeni kuwaona waarabu wabaya na wakatili, mfuatilieni huyo dogo muulizeni kama anapata walau 30k per month, kazi kuwasema waarabu.
duh!

hem acha kujionyesha luwa mjinga,mbona hapa mada haihusu waarabu kabisa?

aisee,sema utahamisha goli liwe dini!

upumbavu tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…