Mkuu sio kawaida.ipo hivi chunguza mchana kama huona vitu vya kumtisha kama paka,kuku,midoli yenye maumbo ya wadudu na wanyama au watu wakutisha na kama hakuna hayo mpeleke hospitali wanazo tibu magonjwa ya kichwa hizo mara nyingi huwa ni dalili za mwanzo kabisa za kifafa.TENA KWA USHAURI MPELEKE MIREMBE DODOMA APATE VIPIMO.NA HUKO IKISHINDIKANA NITAFUTE