Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mtoto wa miezi 4 analia sana usiku amechoma sindano wiki 2 zimeisha tumempa amoxilin wapi nasasa tumempa sefalexin kikohozi bado kinaendelea
Juu ya yote Analia sana usiku kwa kushtuka kila baada ya dk arobain anashtuka na kuanza kulia anabembelezwa akishtuka naanza kulia hii hali Sasa ni zaidi ya wiki ya tatu Sasa shida ninini?
Madaktari naomba msaada wenu asanteni
Juu ya yote Analia sana usiku kwa kushtuka kila baada ya dk arobain anashtuka na kuanza kulia anabembelezwa akishtuka naanza kulia hii hali Sasa ni zaidi ya wiki ya tatu Sasa shida ninini?
Madaktari naomba msaada wenu asanteni
