Mtoto wa miezi mitano anasumbuliwa na jipu/ kidonda kwenye pua

Mtoto wa miezi mitano anasumbuliwa na jipu/ kidonda kwenye pua

LDA COMPANY

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
340
Reaction score
622
Kwema wakuu,

Naombeni msaada. Nina mtoto ana umri wa miezi mitano ila ansumbuliwa na kidonda /jipu kwenye pua. Naona kama siku zinavyoenda pua inazidi kuchubuka naombeni msaada ndugu zangu niijue dawa maana nipo kijijini huku ni ngumu kupata daktari wa watoto.

Nashukuru sana.
 
Mpeleke hospital Wewe upo wapi na mtoto yupo wapi?
Nashukuru sana ndugu ngoja nifanye utaratibu wa kumpeleka hospitali. Mtoto naishi nae ila ni kijijini ila nitajaribu kumpeleka hapo ili nipate msaada.
 
fuata hatua hizi.

Kuzingatia Usafi:
Safisha eneo lililoathirika kwa upole na maji ya vuguvugu na sabuni ya watoto mara mbili kwa siku. Hakikisha mikono yako ni safi kabla ya kugusa eneo hilo.​
Kuweka Maji ya Mchicha (Saline Solution):
Tumia maji ya mchicha (saline solution) ambayo ni salama kwa watoto. Hii inaweza kusaidia kupunguza maumivu na kuondoa uchafu.​
Kutumia Dawa za Kutibu Maumivu:
Ikiwa mtoto anaonekana kuwa na maumivu makali, unaweza kumhudumia na dawa za kupunguza maumivu za watoto kama ilivyoelekezwa na daktari.​
 
fuata hatua hizi.

Kuzingatia Usafi:
Safisha eneo lililoathirika kwa upole na maji ya vuguvugu na sabuni ya watoto mara mbili kwa siku. Hakikisha mikono yako ni safi kabla ya kugusa eneo hilo.​
Kuweka Maji ya Mchicha (Saline Solution):
Tumia maji ya mchicha (saline solution) ambayo ni salama kwa watoto. Hii inaweza kusaidia kupunguza maumivu na kuondoa uchafu.​
Kutumia Dawa za Kutibu Maumivu:
Ikiwa mtoto anaonekana kuwa na maumivu makali, unaweza kumhudumia na dawa za kupunguza maumivu za watoto kama ilivyoelekezwa na daktari.​
Sawa nashukuru sana mkuu
 
Back
Top Bottom