Mtoto wa Mkulima, Si UDOM Pekee

Amanikwenu

Senior Member
Joined
Dec 1, 2009
Posts
187
Reaction score
0
Naomba Waziri Mkuu atambue kuwa matatizo hayako UDOM pekee bali karibu vyuo vyote vikuu vya umma. Ushauri wangu ni kuwa avimulike vyote.
 
noted,ila hadi mtuambie na tunasikia kwa migomo tu sio kwa barua au kwa kutumia jf
 
Naomba Waziri Mkuu atambue kuwa matatizo hayako UDOM pekee bali karibu vyuo vyote vikuu vya umma. Ushauri wangu ni kuwa avimulike vyote.

Amani hilo ni kweli, yaani huyo CAG asambazwe vyuo vyote vya uma na taasisi zote, watashangaa na kushangauka kwamba ufisadi upo kila kona isipokuwa unazidiana viwango tu!
 
Naomba Waziri Mkuu atambue kuwa matatizo hayako UDOM pekee bali karibu vyuo vyote vikuu vya umma. Ushauri wangu ni kuwa avimulike vyote.


Unamuambia PM au unawaambia watu humu JF wakamuambie PM?WRONG CHANNEL
 
ni kweli na ni imani yangu kuwa haya yote yatashughulikiwa ipasavyo kwa kutambua ukubwa na uzito wa tatizo,,wekeni wazi matatizo yenu yapate kutatuliwa maana kwa kukaa kimya nani ataona??na ndio sababu UDOM wameona waanzishe na kuendeleza MIGOMO.
 
ni kweli na ni imani yangu kuwa haya yote yatashughulikiwa ipasavyo kwa kutambua ukubwa na uzito wa tatizo,,wekeni wazi matatizo yenu yapate kutatuliwa maana kwa kukaa kimya nani ataona??na ndio sababu UDOM wameona waanzishe na kuendeleza MIGOMO.

Binafsi nawapongeza sana UDOM kwa kufungua njia. Ni bahati mbaya sana Watawala wetu hawako Proactive na si wasikivu mpaka watikishwe. Hivi kila wiki katika Baraza la Mawaziri huwa wanaongelea nini hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…