Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Mimi nimejitokeza kuwa nina ujinsia utata na nitapingana hadi mwisho. Sasa kwa sababu ya kuwa nimejitokeza kuwa na ujinsia utata natumai na nangojea nani atanichukulia hatua dhidi yangu." Mwanadada huyu aliongeza. "Nimezaliwa katika dini ya ukristo na naamini kkuwa mtu ana haki ya kujieleza na wala dini haijatufunza kuwakandamiza wengine."
Muda tu baada wa Diana kufunguka kuhusu ujinsia wake, kituo hicho za habari kilifungwa kabisa. Wiki iliyopita Museveni alipitisha mswada ambao hauruhusu ujinsia moja na ukinaswa utafungwa maisha.
Sasa mtoto wa Museveni amejitokeza wazi ngoja tuone hatua zipi atazichukua.
Stori imetolewa: bkuHABARI Blog