Haraka sana tena sana mpele Hospitali wa muawhi na drip za maji..na dawa ..maana atakauka (dehydration)!! Clinici kwanza huko watamkusaidia...Ni wa kiume ametimiza mwaka na miez 2. Ameshatembea tayar. Sasa yapata wiki ya pili ANAHARISHA. Mwanzo aliharisha kitu kama mafuta. Saivi bado ANAHARISHA kweli kweli. Dawa bado hazisaidii. Naombeni ushauri ni nini sababu au apewe dawa gani.