Harmonize wa Jf
Member
- Jan 6, 2022
- 56
- 336
Ushauri wa bure mdogoangu. Achana na huyo binti. Muda wako bado saaaaaana. Ila kama majaribu yakizidi, omba ghetto la mwana, mualile siku aje mkae nae mpige stori. Usimwambie utampeleka wapi. Fanya yoteee ila usisahau muda wako bado sana. Ila ni afadhali ujaribu kula kuliko maafa.Wadau nipeni ma mbinu apa nilipoamia Kuna mtoto wa mwenye nyumba mmoja mkali kinoma cheupe Sana sasa kameanza kuniangalia angalia macho ya kunitamani.
Wakuu namtumia mbinu gani kukachakata.
Na je wadau kukwepa msala penzi lisije kujulikana kama mtoto akijaa nitumie ma mbinu gani.
Maana babaake ni noma sana akijua msala.
@
KabisaAchana nae huyo kijana, utapata ukimwi uje kulialia hapa ohooo
Asijibane Ampe mwongozo tu maisha ndio hayahayaaa
Wadau nipeni ma mbinu hapa nilipoamia Kuna mtoto wa mwenye nyumba mmoja mkali kinoma cheupe Sana sasa kameanza kuniangalia angalia macho ya kunitamani.
Wakuu namtumia mbinu gani kukachakata.
Na je wadau kukwepa msala penzi lisije kujulikana kama mtoto akijaa nitumie ma mbinu gani.
Maana babaake ni noma sana akijua msala.
[emoji3526]mkipata kaswende mje tena kutuomba ushauri
Kwan yey umempimaAchana nae huyo kijana, utapata ukimwi uje kulialia hapa ohooo