Mtoto wa mwezi mmoja kutoka maziwa puani

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
560
Wakuu habari za leo

Mwanangu wa mwezi mmoja anatokewa maziwa puani hali hii imejitokeza wiki ya pili toka kuzaliwa kwake.

Sasa jana imeenda mbali yametoka mpaka maskioni .

Wakuu nini kinasababishwa na hii hali.

On my way to hospital.

Je kuna mdau ameshakutana na hali kama hii nipo njia panda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…