Wakuu habari za leo
Mwanangu wa mwezi mmoja anatokewa maziwa puani hali hii imejitokeza wiki ya pili toka kuzaliwa kwake.
Sasa jana imeenda mbali yametoka mpaka maskioni .
Wakuu nini kinasababishwa na hii hali.
On my way to hospital.
Je kuna mdau ameshakutana na hali kama hii nipo njia panda.