Edward Chapa
Member
- Jun 30, 2012
- 72
- 12
Atapata tu
Ni kawaida sana
Thanks maana sijawahi kuona.
Habayi za Mapumziko ndugu, poleni na majukumu.
Mimi ni baba wa mtoto wa kike wa umri wa siku 30 ( mwezi mmoja) hajapata choo leo ni siku ya 7 (wiki),na anatumia maziwa ya mama.
Tatizo nini??
Nimpatie dawa gani??
Naombeni ushauri ,sababu napatwa na presha.
Kawaida sana, kama halii na ananyonya kawaida, there is nothing to worry edo, endelea tu kumshukuru Mungu kwa kukubariki na hako kabinti 🙂
It is normal for a breastfed
infant to not have a bowel
movement for many days.
Do not give juice or water to
your baby. This is dangerous
advice and any one who is
suggesting this is not
knowledgeable about
breastfeeding or the biology of
infant digestion and
development.
atapata tu kuanzia cku saba mpaka kumi relax.Wakwangu alikuwa hvo mpaka alipofika miez sita jua maziwa ya mama ni mazur.Atapata baada ya siku ngapi??
Edward acha kusikiliza watu wasiojua kitu. Inshort mtoto akikosa choo kwa zaidi ya siku 7 ni tatizo(abnormal), hivyo unatakiwa umpeleke hospitali mapema sana. Kuna uwezekano utmbo ukawa umejikunja ingawa sio lazima iwe. Cha kuogopa zaidi ni kama akipata intestinal obstruction ambapo anaweza akahitaji upasuaji. Kwa hiyo kabla ya kujiridhina ni bora umpeleke hospitali mapema.
Edward acha kusikiliza watu wasiojua kitu. Inshort mtoto akikosa choo kwa zaidi ya siku 7 ni tatizo(abnormal), hivyo unatakiwa umpeleke hospitali mapema sana. Kuna uwezekano utmbo ukawa umejikunja ingawa sio lazima iwe. Cha kuogopa zaidi ni kama akipata intestinal obstruction ambapo anaweza akahitaji upasuaji. Kwa hiyo kabla ya kujiridhina ni bora umpeleke hospitali mapema.
Mi bado cjawa namtoto cna cha kukushaur.
mkuu pamoja na ushauri wa watu wengine, hiyo ni hali ya kawaida hasa kama hasumbui (hasa kujinyonganyonga sehemu za kiwiliwili) atapata tu choo! lakini ni vema kumuona specialist amtazamie kabisa, manake sisi wengi tuongea kwa experience tu!
Asante kwa ushauri ndugu
Habayi za Mapumziko ndugu, poleni na majukumu.
Mimi ni baba wa mtoto wa kike wa umri wa siku 30 ( mwezi mmoja) hajapata choo leo ni siku ya 7 (wiki),na anatumia maziwa ya mama.
Tatizo nini??
Nimpatie dawa gani??
Naombeni ushauri ,sababu napatwa na presha.