The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
mi pia najua kale ka kiumeMkuu mbona huyo dogo waga sio Binti kimetokea nini tena?
ππ Ohoo sorry,mods tafadhari badikisheni heading,Iandikwe Kijana wa Ronaldo na sio Binti wa RonaldoMkuu mbona huyo dogo waga sio Binti kimetokea nini tena?
sawa, ila sio mara zote mkuu kwa kuwa sio constant au formular!Waliosema mtoto wa nyoka Ni nyoka hawakukosea maana nyoka hawezi kuzaa kenge.
Binti wa Christiano Ronaldo almaarufu CR7 amerithisha Moto kwa binti yake ambae nae anaendelea kukiwasha huko kwenye timu mbalimba za under 14.
Mtoto wa Messi vipi huko?
Hizi hapa Ni takwimu zake,yaani Baba Yake akasome πView attachment 2454491
MnatuchoshaMods badilisheni muandike kijana wa CR7 na sio binti
Mtoa mada unaonekana ni mjinga sanaWaliosema mtoto wa nyoka Ni nyoka hawakukosea maana nyoka hawezi kuzaa kenge.
Binti wa Christiano Ronaldo almaarufu CR7 amerithisha Moto kwa binti yake ambae nae anaendelea kukiwasha huko kwenye timu mbalimba za under 14.
Mtoto wa Messi vipi huko?
Hizi hapa Ni takwimu zake,yaani Baba Yake akasome [emoji116]View attachment 2454491
"Licha ya kuwa na miaka 12 amekuwa akicheza timu za U-14"Waliosema mtoto wa nyoka Ni nyoka hawakukosea maana nyoka hawezi kuzaa kenge.
Binti wa Christiano Ronaldo almaarufu CR7 amerithisha Moto kwa binti yake ambae nae anaendelea kukiwasha huko kwenye timu mbalimba za under 14.
Mtoto wa Messi vipi huko?
Hizi hapa Ni takwimu zake,yaani Baba Yake akasome πView attachment 2454491
Baada ya kusoma heading me nikajua itakuwa anaongelewa mmoja wa wale twinsmi pia najua kale ka kiume
Jamaa ameandika kwa haraka as if wanakimbizana kufikisha taarifa, msamehe bureMkuu mbona huyo dogo waga sio Binti kimetokea nini tena?
Watu washavurugwa, jamaa sijui alikuwa anawahi wapi .Binti tena....!!