mtoto wa nyoka ni snake....

Ahhhaaaaa !!!!! sipati picha huko skuli ilikuaje !!! real fun... ahhhaaaaa !!
 
Duh sijui kawafanyia kweli wanafunzi wenzake au waalimu
 
hahahhahahhahhahahaha mdingi katokwa mimacho hiyo looooh
 
Mitoto kama hii ni bora ubadilishane na kitimoto.
 
Sasa kama baba anakuwa mtu wa totoz ndo dogo anarudi na 'ngoma' tu.
 
shuleni hapakutosha siku hiyo. Dingi acheki kwenye skull begi kama hakuna barua ya kufukuzwa shule
 
Labda kulikuwa na nyoka kwenye mazingira ya shule jamani, na akaamua kwenda na chuma ili ammalize?...angeua mtu asingekuja nyumbani kwa miguu yake!...huh!
 
hakuua wengi ila teacher wa darasa lake tu ,kwani report ya ku boronga mitihani ingetua home kifo kingekula kwake!
 
hapa ni kusubiri ndinga la police litie timu ....
 
Labda kulikuwa na nyoka kwenye mazingira ya shule jamani, na akaamua kwenda na chuma ili ammalize?...angeua mtu asingekuja nyumbani kwa miguu yake!...huh!
haaa PJ nyoka tu ndo akamtafutiecha moto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…