Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 970
- 1,323
Basi mumuite "RUGE MTOTO" ama "Bosi Mtoto" ili kuondoa mikanganyiko na usumbufu unaojitokeza[emoji16][emoji16][emoji16]tunamuita mtoto ili mjue ni mtoto wa boss ruge
Tatizo mnatoa sana maji maji ukeni plus accent yenu haishawishiKuna mwingine juzi kasema kwamba ataolewa na Mhaya ili apate angalau milo yake yote mitatu
Asante kwa taarifa....sorry iyo PB ni nini tafadhaliMasoud aliendelea na issue zake kama Maisha Plus na Nyinginezo.. Baadaye nadhani labda walimaliza tofauti zao akarudi... Kwani BP ilimuhitaji zaidi Masoud....kuliko Masoud alivyoihitaji BP.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo ila uwa sitaki ku comment sana sababu thinking capacity za watu majukwaa haya siyo kama kule Jukwaa letu
Sisifiagi wanaume under 30, ila nakuhakikishia mwanaume mweusi anaejipenda anaejua kuvaa ana mvuto kiwango cha TBSHUYO NAYE NI HANDSOME MBONA MTU MWENYEWE BLACK SANAA. AMA WENGINE TUNA MAKENGEZA.
AhaaaKuna mwingine juzi kasema kwamba ataolewa na Mhaya ili apate angalau milo yake yote mitatu
Mwingine huyu jaman kampenda bwana MWACHIUnafiki pembeni
Hata mie nimempenda sana tu huyo Mwachi ....anavutia jamani,sanaaa
Mmeamua tu kumuoffend warumi
hajawahi kutaja popote jinsia yake!
NA THE FACT ANAWACHANGANYA MUMUHISI NI MWANAUME SHOGA , NI MWANAMKE, NI MWANAUME MCHELEMCHLE!
huo ndo upekee wake!
Sasa binamu ole wako ujiweke hapo af usiwe unanitumi vocha!
NAKUROGA SHINGO IGEUKIE JUU!
psyuuuuuuuuuu na hushindwi kunichinjia baharini wewe nyau!
Mkuu unachotetea ni nini? Soma hapo umeletewa info hyoMmeamua tu kumuoffend warumi
hajawahi kutaja popote jinsia yake!
NA THE FACT ANAWACHANGANYA MUMUHISI NI MWANAUME SHOGA , NI MWANAMKE, NI MWANAUME MCHELEMCHLE!
huo ndo upekee wake!
Sasa binamu ole wako ujiweke hapo af usiwe unanitumi vocha!
NAKUROGA SHINGO IGEUKIE JUU!
psyuuuuuuuuuu na hushindwi kunichinjia baharini wewe nyau!
Hahaaa!neno hiliiiBinamu kueni na huruma, msiba haujaisha tayari mnataka rambi rambi mzifyatue
Nimekusoma Mkuu. Ila sasa kosa la hao jamaa ni nini kama ni ubovu wa MIC ama wao ndo waliharibu.?
Yaap nshawahi skia dogo anaishi njeShida ni CV yake au kutamka kizungu? Kama ni kizungu nadhani ni kwa sababu anaishi Marekani (kwa mujibu wa wadau wa kwenye huu uzi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Shubi ndio Kokushubila?Binti anaitwa shubi, kavulana kanaitwa juju kama sijakosea
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji3]Afu nilikuwa nawaza ni mmbea gani atakaenipa taarifa za nandy?[emoji23]
Warumi, naskia huyo mtoto ndio sababu ya nandy. Kulia kwa uchungu kupitiliza kumkosa Ba mkwe
Je nandy ana umri gani asije mbemenda mtoto wa watu wakati wewe upo?[emoji16]
Usiniambie . Usinifanye nikategesha mimba binamu [emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Y
Yawezekana, maana alikuwa anatambulika ma mc wote walimpa kipaumbele kila stage alitajwa nandy bila kuunganishwa na wasanii wenzake.
Ila nae mzembe, itakuwaje akose hata copy ya ruge?[emoji23]