Mtoto wa waziri wa utimishi kenya atoweka baada ya mzazi wake kushutumu usalama wa kenya kushiriki utowekaji wa wananchi

Mtoto wa waziri wa utimishi kenya atoweka baada ya mzazi wake kushutumu usalama wa kenya kushiriki utowekaji wa wananchi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Huku kwetu tunaita wasiojulikana

Huko Kenya Leo waziri WA UtuMISHI KENYA amefika polisi kutoka malalamiko ya mwanae kutoweka pasipojulikana

Akiongea kwa huzuni amesema. Wiki iliyopita alitoa malalamiko kwa usalama WA taifa KUSHIRIKI kutoweka kwa wananchi kenya

Na amesema hatojiuxulu kwa kusema ukweli na Yuko tayari kufukuzwa na MH RAISI Ruto

Amesema ANASHANGAA kuona BAADA ya kauli Ile mwanae ametoweka ana siku kadhaa sasa na ameshtumu polisi na serikali kuharakisha mwanae kupatikana akiwa hai

Aiseeeee hizodhambii n ngumukilasehemu
 
Duh wanakula hadi vichwa vyao wenyewe aisee
 
Huku kwetu tunaita wasiojulikana

Huko Kenya Leo waziri WA UtuMISHI KENYA amefika polisi kutoka malalamiko ya mwanae kutoweka pasipojulikana

Akiongea kwa huzuni amesema. Wiki iliyopita alitoa malalamiko kwa usalama WA taifa KUSHIRIKI kutoweka kwa wananchi kenya

Na amesema hatojiuxulu kwa kusema ukweli na Yuko tayari kufukuzwa na MH RAISI Ruto

Amesema ANASHANGAA kuona BAADA ya kauli Ile mwanae ametoweka ana siku kadhaa sasa na ameshtumu polisi na serikali kuharakisha mwanae kupatikana akiwa hai

Aiseeeee hizodhambii n ngumukilasehemu
Rais William Ruto Utawala wake ni kama vile alivyokuwa akifanya Rais Daniel arap Moi enzi za KANU, wakosoaji wa Utawala wake walikuwa wanatekwa bila woga.

Kenya ni nchi ya kidemokrasia kweli kweli.
Yes, ndio maana unaona Watu Wana Uhuru wa kujieleza na wa kutoa maoni yao, hata kama Mtu huyo ni Mshirika wa karibu Sana wa Mtawala aliyopo madarakani
 
Huku kwetu tunaita wasiojulikana

Huko Kenya Leo waziri WA UtuMISHI KENYA amefika polisi kutoka malalamiko ya mwanae kutoweka pasipojulikana

Akiongea kwa huzuni amesema. Wiki iliyopita alitoa malalamiko kwa usalama WA taifa KUSHIRIKI kutoweka kwa wananchi kenya

Na amesema hatojiuxulu kwa kusema ukweli na Yuko tayari kufukuzwa na MH RAISI Ruto

Amesema ANASHANGAA kuona BAADA ya kauli Ile mwanae ametoweka ana siku kadhaa sasa na ameshtumu polisi na serikali kuharakisha mwanae kupatikana akiwa hai

Aiseeeee hizodhambii n ngumukilasehemu
Kwa Tanzania waziri hawezi kuthubutu kusema hivyo(kulaumu na kumshutumu serikali), Bongonyoso hakuna demokrasia katika kiwango hicho.
 
Kwa Tanzania waziri hawezi kuthubutu kusema hivyo(kulaumu na kumshutumu serikali), Bongonyoso hakuna demokrasia katika kiwango hicho.
Atatekwa mchana kweupe au kuwekewa sumu endapo kama watakuwa wanamheshimu Sana.
Huwezi kumkosoa Kim Jong Un.
Aidha, kumkosoa Vladimir Putin ni kujikatia tiketi ya kifo.
 
Kwa hiyo viongozi wa Kenya bandage ya maandamano wameamua kuja na African solutions na wameacha democratic means kufanya kazi
 
Back
Top Bottom