Mtoto wa Will Smith (Jaden) akiliwa Mate live na Mwanaume mwenzie!

Mtoto wa Will Smith (Jaden) akiliwa Mate live na Mwanaume mwenzie!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Mtoto wa anti christ Will Smith ajulikanye kama Jaden Smith akitomasana na Mwanaume mwenzake, bado watoto wa anti christ Obama nao muda siyo mrefu watamwaga radhi pia live!

Will Smith ni muumini wa Dini ijulikanayo kama Scientology ikiwa na Wanachama maarufu kama Tom Cruise, wote hawa ni wapinga Kristo!

2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Hapa wakiwa stejini wanaangaliana kwa mahaba kabisa!
2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Wakianza kukaribiana!
3,w=993,q=high,c=0.bild.jpg



Hapa tayari wameshakulana mate!
2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Hapa Jaden enzi za Uanaume wake akiwa na Demu wake, sasa imebakia Historia ni Wanaume tu kwa kwenda mbele!
2,w=649,q=high,c=0.bild.jpg
 
Mtoto wa anti christ Will Smith ajulikanye kama Jaden Smith akitomasana na Mwanaume mwenzake, bado watoto wa anti christ Obama nao muda siyo mrefu watamwaga radhi pia live!

Will Smith ni muumini wa Dini ijulikanayo kama Scientology ikiwa na Wanachama maarufu kama Tom Cruise, wote hawa ni wapinga Kristo!

2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Hapa wakiwa stejini wanaangaliana kwa mahaba kabisa!
2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Wakianza kukaribiana!
3,w=993,q=high,c=0.bild.jpg



Hapa tayari wameshakulana mate!
2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


Hapa Jaden enzi za Uanaume wake akiwa na Demu wake, sasa imebakia Historia ni Wanaume tu kwa kwenda mbele!
2,w=649,q=high,c=0.bild.jpg
Umekurupuka mkuu,
 
Nikiona watoto wa obama na wenyewe wakilana denda sitoshangaa wala kustuka, ni kawaida yao. Ni kama hapa bongo tunavoishi mke na mume..kwao shoga kwa shoga...pumbaff kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Fanya research ya kutosha kabla ya kuposti vitu, huyo dogo siyo shoga. Google halafu cheki hiyo picha kwenye muvi zake. Haliwi mate.

Ni ngumu kusema ni shoga au la; ila kilichopo ni kwamba kuna kampeni kubwa ya kuingiza ushoga kwenye jamii ya watu weusi. Dogo mwenyewe mara kadhaa kafotolewa kavalia nguo za kike na baba yake ambaye amewahi kumla mate mtoto wake akamtetea kuwa ni jasiri sana ndo maana anajaribu kila kitu ikiwemo kuvaa nguo za kike.
Inaonekana hiyo ni movie lakini maudhui ni kupandikiza ushoga kwa jamii ya watu weusi.

Unakumbuka kesi ya chapel show ambapo alivunja mkataba wa dola milioni 50 sababu alikataa kuvaa nguo ya kike kwenye show yake?
Kuna kinacho endelea kwa upande wa industry ya intertaiment kote duniani na kampeni za ndoa ya jinsia moja.
search kwenye google "salimsangi" utaipata blog yenye jina hilo la salimsangi tafuta post yenye jina la "Dola ya kishetani na ushoga"
 
Thread yenyewe ya kishabiki lazima utamiss point. Sasa hao watoto wa Obama wanakujaje kwenye issue ya Jaden. Una wivu tu unakusumbua, poor you.
Hapa mkuu inawezekana uliamua tu kutotaka kumuelewa alikuwa anamaanisha vijana wa kimerekani sio mabinti wa Obama Sasha na Maria
 
huyo demu sasa kakomaa hatari...
kweli wazungu wanakosa uhondo

hata kama habari hazina ukweli, dogo kakaa kishoga shoga..
 
Dogo sio shoga sema ubrazameni ukizidi raia lazima wa kusingizie


Wabongo bhana kwa ubishi, angalia picha namba 3, Jaden kafunga macho kwa hisia kali huku jamaa akijitayarisha kumla mate!
 
Thread yenyewe ya kishabiki lazima utamiss point. Sasa hao watoto wa Obama wanakujaje kwenye issue ya Jaden. Una wivu tu unakusumbua, poor you.
Na mambo ya anti-christ nayo pia sijui yanahusika nini na uchafua wao (kama kweli). Udini huu ni shida tupu.

Kaka ...
 
Ant Christ, watoto Wa Obama na ushoga vyote umechanganya, habari mchanganyiko kweli
 
Back
Top Bottom