shangwe shangwe
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 108
- 24
Nisaidieni wadau, mtoto wangu analia sana hasa wakati au baada ya kunyonya. Anamwezi mmoja na wk 2. Nilishampa dawa nyingi kama daktari alivyo elekeza lakini bado anateseka. Naomba msaada wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you mean cod liver oil? Asubiri kidogo, hiyo inaanza kutumiwa from 8 to 9 month hivi. At 1,5 mtoto bado mchanga, asimpe chochote zaidi ya maziwa yake.Kama alivyosema BONGOLALA,mumeo kwa kuwa ana kifua flat afanye hivyo.Pia mpe scott's mafuta ya samaki duka la dawa muhmu
Hiyo scott's inasaidia nini hasa kwa mtoto? Na anatakiwa kutumia akiwa na umri gani?Hiyo scott's kwa umri wake anapewa milimita 5.Mafuta hayo ni muhimu asikuambie mtu